
Siku ya mwisho cha kampeni za uraisi. Raisi anaye gombania kipindi cha pili ana pigwa risasi ya kichwa akiwa ana hotubia wananchi walio jitokeza kwa wingi katika kampeni yake. Catrena jasusi wa shirika la X ana pewa jukumu la kupeleza wa shambulizi hilo kikatili. Muhusika wa shambulizi ni mpenzi wake huku wote wakiwa hawajuani kazi zao halisi kwani Catrena ni mwalimu wa shule ya chekechea huku mpenzi wake ni muandishi wa vitabu. Itakuwaje siku wote wakijua ukweli wa kazi zao?
Azaria Msulwa
Interesting Stories Await